Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 101:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika nyumba yangu hatakaa mtu yeyote anayefanya ujanja.+

      Na yeyote anayesema uwongo, hatafanywa imara+

      Mbele za macho yangu.+

  • Zaburi 119:118
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 118 Umewarusha mbali wale wote wanaoondoka katika masharti yako;+

      Kwa maana ujanja wao ni uwongo.+

  • Matendo 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?

  • Waefeso 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ili tusiwe tena watoto wachanga, tukirushwa huku na huku+ kama kwa mawimbi na kuchukuliwa huku na huku na kila upepo wa fundisho+ kupitia udanganyifu+ wa watu, kwa njia ya ujanja katika kutunga kosa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki