11Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+
5 nilitahiriwa siku ya nane,+ kutoka katika ukoo wa familia ya Israeli, wa kabila la Benyamini,+ Mwebrania aliyezaliwa kwa Waebrania;+ kwa habari ya sheria, Farisayo;+