13 Lakini ninyi pia mlimtumaini yeye baada ya kulisikia neno la kweli,+ habari njema juu ya wokovu+ wenu. Kupitia yeye pia, baada ya ninyi kuamini, mlitiwa muhuri+ kwa roho takatifu iliyoahidiwa,+
4 Kwa maana haiwezekani kamwe kwa habari ya wale ambao wametiwa nuru+ mara moja kwa wakati wote, na ambao wameonja zawadi ya bure+ ya kimbingu, na ambao wamekuwa washiriki wa roho takatifu,+