2 Lakini nilipanda kwenda kutokana na ufunuo.+ Nami nikaweka mbele yao+ habari njema ambayo ninahubiri kati ya mataifa, hata hivyo, kwa faragha, mbele ya wale waliokuwa watu wenye kutokeza, ili isije kuwa kwamba kwa njia fulani nilikuwa ninakimbia+ au nilikuwa nimekimbia bure.+
4 Mmetenganishwa na Kristo, hata muwe ninyi ni nani ambao mnajaribu kutangazwa kuwa waadilifu kwa njia ya sheria;+ mmeanguka kutoka kwenye fadhili zake zisizostahiliwa.+
5 Hiyo ndiyo sababu, kwa kweli, wakati sikuweza kuvumilia hilo tena, nilimtuma mtu ili nijue juu ya uaminifu wenu,+ kama labda kwa njia fulani yule Mjaribu+ alikuwa amewajaribu ninyi, na kazi yetu ya jasho ikawa ya bure.+