6 kwa sababu tunajua kwamba utu wetu wa zamani ulitundikwa mtini pamoja naye,+ ili mwili wetu wenye dhambi ufanywe kuwa usiotenda,+ ili tusiendelee tena kuwa watumwa wa dhambi.+
11 Wapendwa, nawahimiza ninyi kama wageni na wakaaji wa muda+ kwamba mwendelee kujiepusha na tamaa za kimwili,+ ambazo ndizo huendelea kupambana na nafsi.+