Matendo 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini Bwana akamwambia: “Ondoka uende, kwa sababu mtu huyu ni chombo kilichochaguliwa+ kwangu ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na vilevile kwa wafalme+ na wana wa Israeli. Waroma 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ambaye kupitia yeye tulipokea fadhili zisizostahiliwa+ na utume+ ili kuwe na utii wa imani kati ya mataifa+ yote kuhusu jina lake, Wakolosai 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa kusudi hili kwa kweli ninafanya kazi kwa bidii, nikijikaza+ kulingana na utendaji+ wake na ambao unafanya kazi ndani yangu kwa nguvu.+
15 Lakini Bwana akamwambia: “Ondoka uende, kwa sababu mtu huyu ni chombo kilichochaguliwa+ kwangu ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na vilevile kwa wafalme+ na wana wa Israeli.
5 ambaye kupitia yeye tulipokea fadhili zisizostahiliwa+ na utume+ ili kuwe na utii wa imani kati ya mataifa+ yote kuhusu jina lake,
29 Kwa kusudi hili kwa kweli ninafanya kazi kwa bidii, nikijikaza+ kulingana na utendaji+ wake na ambao unafanya kazi ndani yangu kwa nguvu.+