Matendo 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+ 2 Timotheo 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo ninaendelea kuvumilia mambo yote kwa sababu ya waliochaguliwa,+ ili wao pia wapate wokovu ulio katika muungano na Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele.+
22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+
10 Kwa hiyo ninaendelea kuvumilia mambo yote kwa sababu ya waliochaguliwa,+ ili wao pia wapate wokovu ulio katika muungano na Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele.+