1 Wathesalonike 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na kufanya iwe shabaha yenu kuishi kwa utulivu+ na kukazia akili mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama vile tulivyowaagiza ninyi; 2 Wathesalonike 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kweli, pia, tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwapa ninyi agizo hili:+ “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”+
11 na kufanya iwe shabaha yenu kuishi kwa utulivu+ na kukazia akili mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama vile tulivyowaagiza ninyi;
10 Kwa kweli, pia, tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwapa ninyi agizo hili:+ “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”+