2 Kwa maana nina wivu juu yenu kwa wivu wa kimungu,+ kwa maana mimi binafsi niliwachumbia+ ninyi mume+ mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi kiadili+ kwa Kristo.+
22 yeye sasa amewapatanisha+ tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake,+ ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari+ na bila shtaka+ lolote mbele zake,
22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo ya kweli katika uhakikisho kamili wa imani, mioyo yetu ikiisha kunyunyizwa kutokana na dhamiri+ ya uovu na miili yetu kuoshwa kwa maji safi.+
27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+