Zaburi 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Atachukua baraka kutoka kwa Yehova+Na uadilifu kutoka kwa Mungu wake wa wokovu.+ Wakolosai 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 kwa maana mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Yehova+ thawabu inayofaa ya urithi.+ Mtumikieni Bwana, Kristo.+
24 kwa maana mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Yehova+ thawabu inayofaa ya urithi.+ Mtumikieni Bwana, Kristo.+