Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mkuu+ wa ufalme wa Uajemi+ alikuwa amesimama katika upinzani+ juu yangu kwa siku 21, na, tazama! Mikaeli,+ aliye mmoja wa hao wakuu wa mbele,+ akaja kunisaidia; nami nikabaki hapo kando ya wafalme wa Uajemi.+

  • Matendo 17:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi Paulo akasimama katikati ya Areopago+ na kusema:

      “Wanaume wa Athene, ninaona kwamba katika mambo yote mnaonekana kuwa wenye mwelekeo zaidi wa kuogopa miungu+ kuliko wengine.

  • 2 Petro 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakika ikiwa Mungu hakujizuia kuwaadhibu wale malaika+ waliofanya dhambi, bali, kwa kuwatupa ndani ya Tartaro,+ aliwatia ndani ya mashimo yenye giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu;+

  • Ufunuo 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hayo, kwa kweli, ni maneno yanayoongozwa+ na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme+ wa dunia nzima inayokaliwa,+ ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya ile siku kuu+ ya Mungu Mweza-Yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki