Zaburi 145:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema zake ziko juu ya kazi zake zote.+ Isaya 54:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana huenda milima ikaondolewa, na huenda vilima vikayumba-yumba,+ lakini fadhili zangu zenye upendo hazitaondolewa kwako,+ wala agano langu la amani halitayumba-yumba,”+ Yehova, Yule anayekuonyesha rehema,+ amesema. Waroma 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki,+ kwa maana kuna Bwana yuleyule juu ya wote, aliye tajiri+ kwa wale wote wanaomwitia.
10 Kwa maana huenda milima ikaondolewa, na huenda vilima vikayumba-yumba,+ lakini fadhili zangu zenye upendo hazitaondolewa kwako,+ wala agano langu la amani halitayumba-yumba,”+ Yehova, Yule anayekuonyesha rehema,+ amesema.
12 Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki,+ kwa maana kuna Bwana yuleyule juu ya wote, aliye tajiri+ kwa wale wote wanaomwitia.