1 Wakorintho 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana wameiburudisha roho+ yangu na yenu. Kwa hiyo watambueni watu wa namna hiyo.+ 1 Wathesalonike 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa tunawaomba ninyi, akina ndugu, mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia+ ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi;
12 Sasa tunawaomba ninyi, akina ndugu, mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia+ ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi;