13 mpaka sisi sote tuufikie umoja katika imani na katika ujuzi sahihi wa Mwana wa Mungu, kufikia kuwa mtu aliyekomaa,+ kufikia kipimo cha kimo ambacho ni cha ujazo wa Kristo;+
18 Hapana, bali endeleeni kukua katika fadhili zisizostahiliwa na ujuzi juu ya Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.+ Kwake yeye na kuwe utukufu sasa na pia mpaka siku ya umilele.+