6 Basi tunasema hekima katikati ya wale ambao ni wakomavu,+ lakini si hekima+ ya mfumo huu wa mambo wala ile ya watawala wa mfumo huu wa mambo,+ ambao watakuja kuwa si kitu.+
20 Akina ndugu, msiwe watoto wachanga katika nguvu za uelewaji,+ lakini iweni watoto kuhusiana na ubaya;+ hata hivyo iweni watu wazima katika nguvu za uelewaji.+
14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia, nguvu zao za ufahamu+ zimezoezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo makosa pia.+