3 Lakini naogopa kwamba kwa njia fulani, kama nyoka alivyomshawishi Hawa+ kwa ujanja wake, huenda akili zenu zikaharibiwa+ kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi wa kiadili ambao unamfaa Kristo.+
12 Usiache mtu yeyote audharau kamwe ujana wako.+ Badala yake, uwe kielelezo+ kwa waaminifu+ katika kusema, katika mwenendo, katika upendo, katika imani, katika usafi wa kiadili.+