Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini naogopa kwamba kwa njia fulani, kama nyoka alivyomshawishi Hawa+ kwa ujanja wake, huenda akili zenu zikaharibiwa+ kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi wa kiadili ambao unamfaa Kristo.+

  • 1 Timotheo 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Usiache mtu yeyote audharau kamwe ujana wako.+ Badala yake, uwe kielelezo+ kwa waaminifu+ katika kusema, katika mwenendo, katika upendo, katika imani, katika usafi wa kiadili.+

  • 1 Timotheo 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wanawake wazee+ kama mama, wanawake vijana kama dada+ kwa usafi wote wa kiadili.

  • 1 Petro 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa sababu wamekwisha kushuhudia kwa macho mwenendo+ wenu ulio safi kiadili pamoja na heshima kubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki