26 Wakati atakapofika msaidizi ambaye nitawapelekea ninyi kutoka kwa Baba,+ roho ya ile kweli, ambayo inatoka kwa Baba, huyo atatoa ushahidi juu yangu;+
11 Waliendelea kuchunguza ni majira gani hasa+ au ni majira ya namna gani ambayo roho+ iliyokuwa ndani yao ilikuwa ikionyesha kumhusu Kristo+ ilipokuwa ikitoa ushahidi kimbele juu ya mateso ya Kristo+ na juu ya utukufu+ ambao ungefuata hayo.