Waroma 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa maana tukiishi, tunaishi kwa ajili ya Yehova,+ na tukifa, tunakufa kwa ajili ya Yehova.+ Kwa hiyo tukiishi na tukifa, sisi ni wa Yehova.+ 1 Petro 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini akiteseka+ kwa sababu yeye ni Mkristo, asione aibu,+ bali na aendelee kumtukuza Mungu katika jina hili.
8 kwa maana tukiishi, tunaishi kwa ajili ya Yehova,+ na tukifa, tunakufa kwa ajili ya Yehova.+ Kwa hiyo tukiishi na tukifa, sisi ni wa Yehova.+
16 Lakini akiteseka+ kwa sababu yeye ni Mkristo, asione aibu,+ bali na aendelee kumtukuza Mungu katika jina hili.