Waefeso 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo, mimi, niliye mfungwa+ katika Bwana, nawasihi ninyi mtembee kwa kuustahili+ mwito mlioitiwa,+ Wakolosai 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ili mtembee kwa kumstahili+ Yehova+ kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema+ na kuongezeka katika ujuzi sahihi+ wa Mungu,
4 Kwa hiyo, mimi, niliye mfungwa+ katika Bwana, nawasihi ninyi mtembee kwa kuustahili+ mwito mlioitiwa,+
10 ili mtembee kwa kumstahili+ Yehova+ kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema+ na kuongezeka katika ujuzi sahihi+ wa Mungu,