Matendo 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao umati ukasimama pamoja dhidi yao; na wale mahakimu wa raia, baada ya kuyararua mavazi yao ya nje, wakatoa amri wapigwe kwa fimbo.+ 1 Wathesalonike 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 bali jinsi, baada ya sisi kuwa tumeteseka+ kwanza na kutendewa kwa dharau+ (kama mnavyojua) katika Filipi,+ tulijipa ujasiri kwa njia ya Mungu wetu ili kuwaambia+ ninyi habari njema ya Mungu kwa kupambana sana. 2 Timotheo 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+
22 Nao umati ukasimama pamoja dhidi yao; na wale mahakimu wa raia, baada ya kuyararua mavazi yao ya nje, wakatoa amri wapigwe kwa fimbo.+
2 bali jinsi, baada ya sisi kuwa tumeteseka+ kwanza na kutendewa kwa dharau+ (kama mnavyojua) katika Filipi,+ tulijipa ujasiri kwa njia ya Mungu wetu ili kuwaambia+ ninyi habari njema ya Mungu kwa kupambana sana.
12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+