2 Wakorintho 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa utakato, kwa ujuzi, kwa ustahimilivu,+ kwa fadhili,+ kwa roho takatifu, kwa upendo usio na unafiki,+ Waefeso 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mkiwa na unyenyekevu kamili wa akili+ na upole, mkiwa na ustahimilivu,+ mkivumiliana katika upendo,+ 1 Wathesalonike 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.
6 kwa utakato, kwa ujuzi, kwa ustahimilivu,+ kwa fadhili,+ kwa roho takatifu, kwa upendo usio na unafiki,+
2 mkiwa na unyenyekevu kamili wa akili+ na upole, mkiwa na ustahimilivu,+ mkivumiliana katika upendo,+
14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.