1 Mambo ya Nyakati 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwimbieni Yehova, enyi nyote wa dunia!+Tangazeni siku baada ya siku wokovu anaotoa!+ Zaburi 30:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mpigieni Yehova muziki, enyi washikamanifu wake,+Utoleeni shukrani ukumbusho wake mtakatifu;+ Zaburi 147:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwitikieni Yehova kwa kutoa shukrani;+Mpigieni Yehova muziki kwenye kinubi,+