29 Kwa hiyo jiji likajaa mvurugo, na kwa umoja wakatimua mbio na kuingia jumba la maonyesho, wakawachukua kwa nguvu pamoja nao Gayo na Aristarko,+ Wamakedonia, wasafiri waliokuwa wakiandamana na Paulo.
4 Hawa waliandamana naye, Sopatro+ mwana wa Piro wa Beroya, Aristarko+ na Sekundo wa Wathesalonike, na Gayo wa Derbe, na Timotheo,+ na kutoka wilaya ya Asia Tikiko+ na Trofimo.+
2 Tukapanda ndani ya mashua kutoka Adramitiamu, iliyokuwa karibu kusafiri mpaka kandokando ya pwani ya wilaya ya Asia, tukasafiri kwa mashua, naye Aristarko+ Mmakedonia kutoka Thesalonike alikuwa pamoja nasi.