Waroma 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo imani hufuata jambo lililosikiwa.+ Nalo jambo lililosikiwa ni kupitia neno kumhusu Kristo.+ Waefeso 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ninyi pia mlimtumaini yeye baada ya kulisikia neno la kweli,+ habari njema juu ya wokovu+ wenu. Kupitia yeye pia, baada ya ninyi kuamini, mlitiwa muhuri+ kwa roho takatifu iliyoahidiwa,+
17 Kwa hiyo imani hufuata jambo lililosikiwa.+ Nalo jambo lililosikiwa ni kupitia neno kumhusu Kristo.+
13 Lakini ninyi pia mlimtumaini yeye baada ya kulisikia neno la kweli,+ habari njema juu ya wokovu+ wenu. Kupitia yeye pia, baada ya ninyi kuamini, mlitiwa muhuri+ kwa roho takatifu iliyoahidiwa,+