Ezekieli 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ‘Nami nitaitia roho yangu ndani yenu, nanyi mtakuwa hai,+ nami nitawakalisha katika nchi yenu; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelifanya,’ asema Yehova.”+ 1 Yohana 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, yeye ambaye hushika amri zake hukaa katika muungano na yeye, na yeye katika muungano na mtu huyo;+ na kwa jambo hili sisi tunajua kwamba yeye anakaa katika muungano na sisi,+ kwa sababu ya roho+ ambayo alitupa sisi.
14 ‘Nami nitaitia roho yangu ndani yenu, nanyi mtakuwa hai,+ nami nitawakalisha katika nchi yenu; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelifanya,’ asema Yehova.”+
24 Zaidi ya hayo, yeye ambaye hushika amri zake hukaa katika muungano na yeye, na yeye katika muungano na mtu huyo;+ na kwa jambo hili sisi tunajua kwamba yeye anakaa katika muungano na sisi,+ kwa sababu ya roho+ ambayo alitupa sisi.