Yohana 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+ Matendo 7:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Ndipo akapiga magoti yake, akapaaza sauti kubwa: “Yehova, usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo akalala usingizi katika kifo. 1 Wakorintho 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja, ambao walio wengi kati yao wapo mpaka sasa,+ lakini wengine wamelala usingizi katika kifo.
11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+
60 Ndipo akapiga magoti yake, akapaaza sauti kubwa: “Yehova, usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo akalala usingizi katika kifo.
6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja, ambao walio wengi kati yao wapo mpaka sasa,+ lakini wengine wamelala usingizi katika kifo.