Waroma 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kwa kusudi hili Kristo alikufa na kuwa hai tena,+ ili awe Bwana juu ya waliokufa+ na walio hai+ pia. 1 Wakorintho 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kwamba alizikwa,+ ndiyo, kwamba alifufuliwa+ siku ya tatu+ kulingana na Maandiko;+
9 Kwa maana kwa kusudi hili Kristo alikufa na kuwa hai tena,+ ili awe Bwana juu ya waliokufa+ na walio hai+ pia.