Waroma 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usiku umesonga sana; mchana+ umekaribia. Kwa hiyo na tuyaondoe matendo ya giza+ na tuvae silaha+ za nuru. Wakolosai 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye alitukomboa kutoka katika mamlaka+ ya giza, akatuhamisha+ na kutuingiza katika ufalme+ wa Mwana wa upendo wake,+ 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
12 Usiku umesonga sana; mchana+ umekaribia. Kwa hiyo na tuyaondoe matendo ya giza+ na tuvae silaha+ za nuru.
13 Yeye alitukomboa kutoka katika mamlaka+ ya giza, akatuhamisha+ na kutuingiza katika ufalme+ wa Mwana wa upendo wake,+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+