Waefeso 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo mkimtolea shukrani+ sikuzote Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote. Wakolosai 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na lolote lile mnalofanya kwa neno au kwa tendo,+ fanyeni kila jambo katika jina la Bwana Yesu,+ mkimshukuru+ Mungu Baba kupitia yeye.
20 katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo mkimtolea shukrani+ sikuzote Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote.
17 Na lolote lile mnalofanya kwa neno au kwa tendo,+ fanyeni kila jambo katika jina la Bwana Yesu,+ mkimshukuru+ Mungu Baba kupitia yeye.