1 Wathesalonike 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+ 2 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 mkingojea+ na kuweka karibu akilini kuwapo kwa siku ya Yehova,+ ambayo kupitia hiyo mbingu zikiwa zimewaka moto zitayeyushwa+ na vitu vya msingi vikiwa moto sana vitayeyuka! Ufunuo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa sababu siku kuu+ ya ghadhabu+ yao imekuja, na ni nani anayeweza kusimama?”+
2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+
12 mkingojea+ na kuweka karibu akilini kuwapo kwa siku ya Yehova,+ ambayo kupitia hiyo mbingu zikiwa zimewaka moto zitayeyushwa+ na vitu vya msingi vikiwa moto sana vitayeyuka!