Matendo 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa wakasafiri kupitia Amfipoli na Apolonia wakaja mpaka Thesalonike,+ ambako kulikuwa na sinagogi la Wayahudi. 2 Wathesalonike 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 wala hatukula chakula kwa yeyote bure.+ Kinyume cha hilo, kwa kazi ya jasho na kutaabika+ usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+
17 Sasa wakasafiri kupitia Amfipoli na Apolonia wakaja mpaka Thesalonike,+ ambako kulikuwa na sinagogi la Wayahudi.
8 wala hatukula chakula kwa yeyote bure.+ Kinyume cha hilo, kwa kazi ya jasho na kutaabika+ usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+