Wakolosai 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Epafra,+ ambaye ni kutoka kati yenu, mtumwa wa Kristo Yesu, anawatumia ninyi salamu zake, sikuzote akijikaza kwa ajili yenu katika sala zake, ili mwishowe msimame mkiwa kamili+ na kwa usadikisho imara katika mapenzi yote ya Mungu.
12 Epafra,+ ambaye ni kutoka kati yenu, mtumwa wa Kristo Yesu, anawatumia ninyi salamu zake, sikuzote akijikaza kwa ajili yenu katika sala zake, ili mwishowe msimame mkiwa kamili+ na kwa usadikisho imara katika mapenzi yote ya Mungu.