Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana uasi+ wa wasio na uzoefu utawaua wao,+ na kutojali kwa wajinga kutawaangamiza wao.+

  • Waroma 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana ghadhabu+ ya Mungu inafunuliwa kutoka mbinguni juu ya watu wote wasiomwogopa Mungu na wasio waadilifu+ ambao wanaikandamiza kweli+ katika njia isiyo ya uadilifu,+

  • Yuda 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sababu yangu ni kwamba watu fulani wameingia ndani kisirisiri+ ambao tangu zamani za kale walitangulia kutajwa+ na Maandiko kwa ajili ya hukumu hii,+ watu wasiomwogopa Mungu,+ wanaozigeuza fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu kuwa kisingizio cha mwenendo mpotovu+ na kumkana+ Mmiliki+ na Bwana+ wetu pekee, Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki