1 Timotheo 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wakati huohuo wao hujifunza pia kutokuwa na kazi, wakizunguka-zunguka nyumba kwa nyumba; ndiyo, si kwamba hawana kazi tu, bali pia ni wenye kupiga porojo na wenye kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea juu ya mambo ambayo hawapaswi. 1 Petro 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, yeyote kati yenu asiteseke+ kwa sababu yeye ni muuaji au mwizi au mtenda-maovu au mwenye kujiingiza katika mambo ya watu wengine.+
13 Wakati huohuo wao hujifunza pia kutokuwa na kazi, wakizunguka-zunguka nyumba kwa nyumba; ndiyo, si kwamba hawana kazi tu, bali pia ni wenye kupiga porojo na wenye kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea juu ya mambo ambayo hawapaswi.
15 Hata hivyo, yeyote kati yenu asiteseke+ kwa sababu yeye ni muuaji au mwizi au mtenda-maovu au mwenye kujiingiza katika mambo ya watu wengine.+