Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+ Waroma 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+