Waefeso 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+ Wakolosai 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hilo, ingawa mlikuwa wafu katika makosa yenu na katika hali ya kutotahiriwa ya mwili wenu, Mungu aliwafanya ninyi kuwa hai pamoja naye.+ Yeye alitusamehe kwa fadhili makosa yetu yote+
2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+
13 Zaidi ya hilo, ingawa mlikuwa wafu katika makosa yenu na katika hali ya kutotahiriwa ya mwili wenu, Mungu aliwafanya ninyi kuwa hai pamoja naye.+ Yeye alitusamehe kwa fadhili makosa yetu yote+