Kumbukumbu la Torati 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura.+ 1 Wakorintho 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana katika sheria ya Musa imeandikwa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka.”+ Je, ni ng’ombe ambao Mungu anajali?
9 Kwa maana katika sheria ya Musa imeandikwa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka.”+ Je, ni ng’ombe ambao Mungu anajali?