Kumbukumbu la Torati 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Shahidi mmoja asiinuke juu ya mtu kuhusu kosa au dhambi yoyote,+ kuhusu dhambi yoyote ambayo huenda akafanya. Kwa kinywa cha mashahidi wawili au kwa kinywa cha mashahidi watatu jambo hilo litathibitishwa vizuri.+ Mathayo 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini asiposikiliza, chukua pamoja nawe mmoja au wawili zaidi, ili kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu kila jambo lipate kuthibitishwa.+ 2 Wakorintho 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+ Waebrania 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+
15 “Shahidi mmoja asiinuke juu ya mtu kuhusu kosa au dhambi yoyote,+ kuhusu dhambi yoyote ambayo huenda akafanya. Kwa kinywa cha mashahidi wawili au kwa kinywa cha mashahidi watatu jambo hilo litathibitishwa vizuri.+
16 Lakini asiposikiliza, chukua pamoja nawe mmoja au wawili zaidi, ili kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu kila jambo lipate kuthibitishwa.+
13 Hii ndiyo mara ya tatu+ ambayo ninakuja kwenu. “Kwa kinywa cha mashahidi wawili au cha watatu kila jambo litathibitishwa.”+
28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+