Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+ Wagalatia 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa matendo ya mwili ni wazi,+ nayo ni uasherati,+ uchafu, mwenendo mpotovu,+