2 Timotheo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Endelea kuwakumbusha+ mambo haya, ukiwaagiza+ mbele za Mungu kama shahidi,+ wasipigane juu ya maneno,+ hilo ni jambo ambalo halifai hata kidogo kwa sababu huwaharibu wale wanaosikiliza. Tito 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kuna watu wengi watundu, wanaoongea maneno yasiyo na faida,+ na wanaodanganya akili za watu, hasa watu wale ambao hushikamana na tohara.+ Tito 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini epuka maswali ya upumbavu+ na kutafuta-tafuta ukoo+ na mizozo+ na mapigano juu ya Sheria,+ kwa maana hayo hayana faida na ni ya ubatili.
14 Endelea kuwakumbusha+ mambo haya, ukiwaagiza+ mbele za Mungu kama shahidi,+ wasipigane juu ya maneno,+ hilo ni jambo ambalo halifai hata kidogo kwa sababu huwaharibu wale wanaosikiliza.
10 Kwa maana kuna watu wengi watundu, wanaoongea maneno yasiyo na faida,+ na wanaodanganya akili za watu, hasa watu wale ambao hushikamana na tohara.+
9 Lakini epuka maswali ya upumbavu+ na kutafuta-tafuta ukoo+ na mizozo+ na mapigano juu ya Sheria,+ kwa maana hayo hayana faida na ni ya ubatili.