Mathayo 25:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ndipo waadilifu watamjibu kwa maneno haya, ‘Bwana, ni wakati gani tulipokuona ukiwa na njaa na kukulisha, au ukiwa na kiu,+ na kukupa kinywaji?+ Yohana 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Bado muda kidogo zaidi na ulimwengu hautaniona tena,+ lakini ninyi mtaniona,+ kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi.+ 1 Petro 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndiyo, hata Kristo alikufa mara moja kwa wakati wote kuzihusu dhambi,+ mtu mwadilifu kwa ajili ya wasio waadilifu,+ ili awaongoze ninyi kwa Mungu,+ yeye aliuawa katika mwili,+ lakini akafanywa kuwa hai katika roho.+
37 Ndipo waadilifu watamjibu kwa maneno haya, ‘Bwana, ni wakati gani tulipokuona ukiwa na njaa na kukulisha, au ukiwa na kiu,+ na kukupa kinywaji?+
19 Bado muda kidogo zaidi na ulimwengu hautaniona tena,+ lakini ninyi mtaniona,+ kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi.+
18 Ndiyo, hata Kristo alikufa mara moja kwa wakati wote kuzihusu dhambi,+ mtu mwadilifu kwa ajili ya wasio waadilifu,+ ili awaongoze ninyi kwa Mungu,+ yeye aliuawa katika mwili,+ lakini akafanywa kuwa hai katika roho.+