48 Huyo anafanana na mtu anayejenga nyumba, ambaye alichimba akaenda chini kina kirefu na kuweka msingi juu ya mwamba. Baadaye, mafuriko+ yalipotokea, mto uliipiga nyumba hiyo kwa nguvu, lakini haukuwa na nguvu za kutosha kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.+