Isaya 45:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Geukeni mje kwangu mkaokolewe,+ ninyi nyote mlio katika miisho ya dunia; kwa maana mimi ni Mungu, wala hakuna mwingine yeyote.+ Matendo 17:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ni kweli, Mungu ameachilia mbali nyakati hizo za kutojua,+ lakini sasa anawaambia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.+ 1 Wakorintho 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa kweli kwa roho moja sote tulibatizwa+ katika mwili mmoja, kama ni Wayahudi au ni Wagiriki, kama ni watumwa au ni walio huru, nasi sote tulinyweshwa+ roho moja.
22 “Geukeni mje kwangu mkaokolewe,+ ninyi nyote mlio katika miisho ya dunia; kwa maana mimi ni Mungu, wala hakuna mwingine yeyote.+
30 Ni kweli, Mungu ameachilia mbali nyakati hizo za kutojua,+ lakini sasa anawaambia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.+
13 Kwa kweli kwa roho moja sote tulibatizwa+ katika mwili mmoja, kama ni Wayahudi au ni Wagiriki, kama ni watumwa au ni walio huru, nasi sote tulinyweshwa+ roho moja.