Mwanzo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na Yehova Mungu akaendelea kusema: “Si vema huyo mwanamume aendelee kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi, awe kikamilisho chake.”+ 1 Wakorintho 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke alitoka katika mwanamume;+
18 Na Yehova Mungu akaendelea kusema: “Si vema huyo mwanamume aendelee kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi, awe kikamilisho chake.”+