Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kwa sababu yeye ambaye Yehova anampenda,+ humkaripia, kama vile baba anavyomkaripia mwana anayemfurahia.+

  • Yohana 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye atakapofika ataupa ulimwengu uthibitisho wenye kusadikisha kuhusu dhambi na kuhusu uadilifu na kuhusu hukumu:+

  • Tito 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki