Methali 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa sababu yeye ambaye Yehova anampenda,+ humkaripia, kama vile baba anavyomkaripia mwana anayemfurahia.+ Yohana 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye atakapofika ataupa ulimwengu uthibitisho wenye kusadikisha kuhusu dhambi na kuhusu uadilifu na kuhusu hukumu:+ Tito 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.
12 kwa sababu yeye ambaye Yehova anampenda,+ humkaripia, kama vile baba anavyomkaripia mwana anayemfurahia.+
8 Naye atakapofika ataupa ulimwengu uthibitisho wenye kusadikisha kuhusu dhambi na kuhusu uadilifu na kuhusu hukumu:+
9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.