25 Zaidi ya hayo, kila mtu anayeshiriki katika shindano hujizuia+ katika mambo yote. Basi wao, bila shaka, hushindana ili wapate taji+ linaloharibika, lakini sisi ili tupate taji lisiloharibika.+
12 Mwenye furaha ni mtu anayeendelea kuvumilia jaribu,+ kwa sababu akiisha kukubaliwa atapokea taji la uzima,+ ambalo Yehova aliwaahidi wale wanaoendelea kumpenda.+