Waroma 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova hatahesabu dhambi yake kamwe.”+ 1 Wakorintho 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 haujiendeshi bila adabu,+ hautafuti faida zake wenyewe,+ hauchokozeki.+ Hauweki hesabu ya ubaya.+