54 Lakini huu ulio wenye kuharibika utakapovaa kutoweza kuharibika na huu unaoweza kufa utakapovaa kutoweza kufa, ndipo litakapotimia hili neno lililoandikwa: “Kifo+ kimemezwa milele.”+
14 Basi, kwa kuwa “watoto wachanga” ni washiriki wa damu na mwili, yeye pia vivyo hivyo aliyashiriki mambo hayohayo,+ ili kupitia kifo+ chake apate kumwangamiza+ yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi;+