Matendo 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana nitamwonyesha wazi ni mambo mangapi ambayo atateseke kwa ajili ya jina langu.”+ Waefeso 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo mimi, Paulo, mfungwa+ wa Kristo Yesu kwa ajili yenu, watu wa mataifa+— 1 Petro 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+
19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+