7 Ni nani ambaye hutumika akiwa askari kwa gharama yake mwenyewe? Ni nani ambaye hupanda shamba la mizabibu na asile matunda yake?+ Au ni nani ambaye huchunga kundi na asinywe sehemu ya maziwa ya kundi?+
10 Au, je, yeye hasemi hilo kwa ajili yetu tu? Kwa kweli hilo liliandikwa kwa ajili yetu,+ kwa sababu mtu anayelima anapaswa kulima akiwa na tumaini na mtu anayepura anapaswa kupura akiwa na tumaini la kula.+